LYRICS | FUTURE JNL-TENA |

ARTIST; FUTURE JNL
SONG : TENA
LYRICS : PRINCE SAULO
[Intro]
Aaahhh
Oya Boo i dont know
what to do
Raaaaaaaa
[VERSE 1]
Sometimes mi nawaza
roho yako iridhike
kwangu utulie
Nina Mambo Mengi
Sana
Ila Natambua
Aaaaghhh
Na Mengine Yanauma
Siwezi simulia
[BRIDGE]
Enheee
Nakumbuka kauli yako
moja ya uchungu unalia
Eti Mimi ndo mwanaume
wa ukweli
aliyekupa Mungu
Aliyebarikiwa
[CHORUS]
Enheee
Oya Boo i dont know
what to do
Enheeee
Oya Boo i dont
know what to do
TENA
TENA
TENA
[VERSE 2]
Raaaaaaa
Hii Ni kazi ya Maisha
Zanielea puta
Kutwa mi nahangaika
usiku kucha ili
kukuridhisha
Kukwepa wanafiki
mafedhuri
Kuharibu Upendo
Roho zao kaniki
yenye kivuli
[BRIDGE]
Enheee
Nakumbuka kauli yako
moja ya uchungu unalia
Eti Mimi ndo mwanaume
wa ukweli
aliyekupa Mungu
Aliyebarikiwa
[CHORUS]
Enheee
Oya Boo i dont know
what to do
Enheeee
Oya Boo i dont
know what to do
TENA
TENA
TENA
Post a Comment