VURUGU ZA MAANDAMANO YA WAISLAMU ZILIZOTOKEA SIKU YA JANA MBAGALA......
![]() |
Baadhi ya waandamanaji wakiwa jirani na Kituo cha Polisi cha Maturubai kilichopo Mbagala jijini Dar,siku ya jana. |
![]() |
Baadhi ya maafisa wa polisi wakinawa maji baada ya mabomu ya machozi kupigwa. |
![]() |
Paul Martin ambaye alidai alikuwa akienda sokoni ndipo akaambulia kipigo.... |
![]() |
Baadhi ya waandamanaji wakiwa wamewekwa chini ya ulinzi. |
![]() |
Baadhi wa waumini wa kanisa la T.A.G wakililinda kanisa lao. |
![]() |
Kanisa la Aglikana ambalo pia lilishambuliwa na waandamanaji. |
![]() |
Hili ni gari aina ya Noah,lilopasuliwa vioo katika vurugu hiyo.... |
![]() |
Rav 4 hii pia ilipasuliwa vioo.... |
![]() |
Gari hili lilichomwa moto katika vurugu hizo.... |
![]() |
Ni mmoja ya mtu aliyejeruhiwa kwenye vurugu hizo.... |
Post a Comment