Adsense

AKON SOON KUFANYA SHOW NCHINI KENYA


Baada ya mtu mzima Rozay kukisanua mbaya katika show kali ya kijanja hapa town ya Serengeti Fiesta 2012 Tzee.Sasa habari ambazo tumezipata kutoka 254 nairobi kenya ni kwamba siku ya tarehe 27october na tarehe 28 wanatarajia kupata burudani kali kwa mtu mzima Akon Daaaaaah!!!!!!!!  dzain kama nahisi show itakuwa powa  sana ebu msikilize yeye mwenyewe Akon akifunguka kuhusiana na show yake tarehe 27 na 28 nchini kenya.

             

NU VIDEO: TREY SONGZ “DIVE IN” OFFICIAL VIDEO


               

PREZZO FACE TO FACE NA JAY Z

Ni moja kati ya wasanii ambao walipa chance ya kwenda kuiwakilisha nchi yake ya Kenya katika mashindano ya Big Brother Star Game mwaka huu na akafanikiwa kuwa mshindi wa pili.Sasa baada ya kuwa mshindi wa pili prezzo bhana alipata shavu la kuwa Balozi wa One compaign nchini Marekani na hii ni moja kati ya picha ambazo baada ya kufika nchini marekani alikutana na mkali wa hip hop anayefahamika kwa jina la Jay z.

HAPPY BIRTHDAY BRUNO MARS

Kutoka pande za state tunakuta na msanii ambaye mwenye ladha fulani hivi za R&B huyu si mwingine jina lake alisi Peter Gene Hernandez lakini katika upande wa muziki anajulikana kwa jina la Bruno mars.Msanii huyu bhana siku ya leo anatimiza miaka 27 toka azaliwe  October 8, 1985.Tunamkia maisha mema na harakati nzuri katika game la muziki.

No comments